Timu yetu

Timu yetu

Peter O'Hara

Kiongozi Mshauri Mwelekezi (CTA)


Peter O'hara hufanya kazi kama Kiongozi wa Timu ya FORVAC, kusimamia na kuongoza timu ya kiufundi (TA), ana jukumu la kupanga na kutekeleza shughuli za programu, kuangalia na kutathmini na kutoa ripoti. Peter O'hara ana jukumu la kuunganisha washirika wa kitaifa na kimataifa na wadau wengine wa programu. Sambamba na maendeleo ya mnyororo wa thamani ya misitu, yeye pia anatoa ushauri juu ya sera, sheria za misitu na masuala yanayohusiana na uhalalishwaji wa mbao.

Emma Nzunda

Mratibu wa Kitaifa wa Programu (NPC)


Emma Nzunda anamajukumu ya kusimamia rasilimali zitolewazo na Serikali ya Tanzania kwa kuhakikisha kuwa zinatumika ipasavyo na kwa ufanisi. Pia, anasaidia kuandaa mipango ya programu, utekelezaji na ufuatiliaji wa matokeo ya FORVAC kulingana na malengo yaliyopangwa. Nzunda e pia anaratibu na kuunganisha shughuli za programu ambazo zinatekelezwa na Idara ya Misitu na Nyuki, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI).